Saturday, January 21, 2017

100% Bongo Certified: Wanaume Wenye Tabia ya Kuacha Wake Zenu Eti Hawazai Piteni Hapa. Mara Nyingi Inawezekana Nyinyi Ndiyo Mna Matatizo !!! [TanzaniaPulse]

Wanaume wengi hudhani kuwa kama wanaweza kutomba na kupiga bao basi wanaweza kuzaa pia...Hawajui kwamba kuna mambo ya low sperm count, sperms zisizo na afya....Mara nyingi kukiwa na tatizo la ugumba basi anayelaumiwa moja kwa moja ni mwanamke.Siyo kweli...Huyu jamaa hapa alimuacha huyu mke wake...Mdau J akambeba na within six months mama tayari kakamata mimba. Sasa mume wa kwanza eti kasusa

No comments:

Post a Comment