Wanaume wengi hudhani kuwa kama wanaweza kutomba na kupiga bao basi wanaweza kuzaa pia...
Hawajui kwamba kuna mambo ya low sperm count, sperms zisizo na afya....
Mara nyingi kukiwa na tatizo la ugumba basi anayelaumiwa moja kwa moja ni mwanamke.
Siyo kweli...
Huyu jamaa hapa alimuacha huyu mke wake...
Mdau J akambeba na within six months mama tayari kakamata mimba.
Sasa mume wa kwanza eti kasusa hataki kutoa talaka wakati alimwacha na kuoa mwanamke mwingine.
Ukiona mkeo hapati mimba nyote nendeni mkapimwe ili kujua mwenye tatizo ni nani...
Otherwise
No comments:
Post a Comment