Friday, April 28, 2017
Tuesday, April 25, 2017
Haki ya Nani Wabongo Sisi kwa Uwongo na Umbeya Tumezidi Duh. Kungekuwa na Mashindano ya Umbea na Kupiga Domo Mitandaoni na Kwingineko Haki ya Nani Tungeshika Nambari Wani.... [TanzaniaPulse]
==> Aliyeileta hiyo habari hapo chini kuhusu hiyo ajali ya wapenzi ni mdau ninayemwamini sana.
==> Na ameapa kabisa kuwa jana asubuhi alishuhudia hii ajali mwenyewe.
Kumbe uwongo mtupu!
Anyway, funzo ni lile lile: Siyo busara kuegesha gari kwenye mteremko na kuanza kutombana.
Ajali kama hii yaweza kutokea....
Asante mdau anonymous uliyeleta ufafanuzi wa hii ishu...
Habari kamili IKO HAPA
***********************
100% Bongo Certified: Inasikitisha Sana! Tuweni Waangalifu na Haya Mambo Wapendwa. Kuegesha Gari Kwenye Mteremko Halafu Mnaanza Kutombana ni Hatari...Wapenzi Hawa Wapumzike kwa Amani !!! [TanzaniaPulse]
Inasemekana wamepata ajali walikuwa wameegesha gari karibu na mteremko wakawa wanafanya mapenzi ndani ya gari.
Ghafla gari likafeli break likashuka mlima likawamaliza.
Mahali ni Majumba 6 jirani na Segerea Dar.
Samahani kwa picha ila tujifunze kitu.
Huyu dada lazima mambo yalikolea akasukuma gear kwenda free.
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Download Download This post appeared first on Tanzania Pulse
-
Download This post appeared first on Tanzania Pulse
-
Download Download Download This post appeared first on Tanzania Pulse

